Tuesday, February 8, 2011

KWANINI TUSHINDWE?

Naamini kua sisi kama binadamu tumezaliwa na vipaji na uwezo wetu wa asilia achilia mbali ule tulio upata mashuleni, ambao unatutenga na jamii yetu. Kwa kua kila mtu anacho kitu alichopewa toka kwa mwenyezi naamini kua kama tutajumuuisha kwa pamoja nguvu zetu,vipaji na vipawa vyetu tunaweza fanya kyela yetu ikawa bora katika kila nyanja za kimaisha,lakini kama tutaendelea kuishi kama kuku waliotenganishwa na mwewe kwa kukumbatia mila zinazokandamiza maendeleo hakika hatutofika popote.TUJIULIZE TUNAFANYA NINI NA TUMEFANYA NINI MPAKA TUSEME HATUWEZI?

1 comment: